1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

14.02.2017 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S14 Februari 2017

Mshauri mkuu wa rais Donald Trump wa Marekani, Michael Flynn, amejiuzulu// Kansela wa Ujerumani Angela Merkel anatarajiwa kumshinikiza waziri mkuu wa Tunisia Youssef Chahed kuharakisha kurejeshwa nyumbani kwa watu waliokuwa wanatafuta hifadhi// Zoezi la mwisho la kuwasajili wapigaji kura nchini Kenya kabla ya uchaguzi unaotarajiwa Agosti 8, linakamilika leo.

https://p.dw.com/p/2XWdE