Afisa wa zamani wa kijasusi wa Syria ahukumiwa kifungo cha maisha jela nchini Ujerumani kwa makosa ya uhalifu dhidi ya binadamu+++Serikali ya Marekani imeridhia kuachiwa huru kwa wafungwa watano zaidi kutoka gereza la kijeshi la Guantanamo Bay+++Serikali ya Kenya imetangaza nia yake ya kuvunjilia mbali kamati za amani jimboni Marsabit.