Erdogan amuonya jenerali Haftar dhidi ya mashambulizi zaidi/ Viongozi wa Sahel na Ufaransa waapa kuongeza nguvu za jeshi/ Tume ya kitaifa ya Burundi ya Ukweli na Maridhiano hapo jana iliyaweka hadharani mabaki yaliyokuwa yamefukiwa katika kaburi la pamoja mjini Bujumbura/ Kenya: Rais Kenyatta amefanya mageuzi katika baraza lake la mawaziri