Waziri mkuu wa Israel ziarani Falme za Kiarabu/ Mkasa wa vimbunga jimboni Kentucky Marekani watangazwa kuwa janga la nchi/ Je, Rais Kenyatta anampigia debe Odinga?/ Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi zilizoendelea kiviwanda duniani za Kundi la G7 wameionya Urusi kuwa huenda ikakabiliwa na hatua kali iwapo itaishambulia Ukraine/ Rais Ramaphosa akutwa na COVID-19