1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.12.2020 - Matangazo ya Asubuhi

13 Desemba 2020

Kansela Angela Merkel anakutana na viongozi wa majimbo kujadili hatua kali za kudhibiti kusambaa virusi vya corona. Marekani itaanza kutoa chanjo ya virusi vya corona kesho Jumatatu. Watu 6 wameuwawa na wengine 24 wametekwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.

https://p.dw.com/p/3mdYU