Ujumbe wa Umoja wa Afrika ukioongozwa na rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf umewasili Gambia// Mazungumzo ya kisiasa baina ya upinzani na vyama tawala huko Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo yameanza tena hii leo// Chama cha wananchi CUF leo kimekutana kwa dharura huku kikiwa na ajenda moja ya kufanya maandalizi ya uchaguzi mdogo.