1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.11.2020 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S13 Novemba 2020

Tanzania- Rais John Pombe Magufuli amelihutubia bunge mjini Dodoma na kutishia kuwachukulia hatua kali wale wote watakaojaribu kuvuruga amani ya nchi hiyo// Huko visiwani Zanzibar kuna madai kwamba baadhi ya vijana miongoni mwa wenzao vijana 18 waliokuwa wameripotiwa kutoweka tangu siku ya uchaguzi tarehe 28 Oktoba walipatikana jana.

https://p.dw.com/p/3lFT6