Sintofahamu yaibuka Congo/ Ghasia za umwagaji damu zaendelea Ukanda wa Gaza/ Mkutano kuhusu amani Libya/ Baada ya kukosolewa na kufika hadi ya kulaaniwa, Sudan inageuka hivi sasa kuwa mshirika mkubwa wa nchi za magharibi. Na hali hiyo inatokea licha ya ripoti za kuendewa kinyume haki za binaadamu/ Uturuki: Tunasubiri ufafanuzi wa Saudia mauaji ya Khashoggi