Suala la katiba mpya nchini Tanzania> Mahojiano/ Algeria: Chama tawala kinapanga kumsimamisha rais Boutefilika mwenye umri wa miaka 81 kuwania muhula wa tano katika uchaguzi ujao mwaka 2019/ Matamanio makubwa ya kuishi na hatimae kupata uraia katika nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya yamesababisha kuwepo vitendo vya rushwa/ Wadau wa masuala ya kupanga uzazi barani Afrika wanakutana Kigali Rwanda