Watu wenye silaha wavamia gereza Nigeria, wawaachia wafungwa/ Congo: Mashirika ya kiraia ya mji wa Beni yameitisha mgomo kupiga matukio yaliokithiri ya ujambazi wa kutumia silaha/ Maswali yaibuka kuhusu miili 11 ilopatikana Mto Tana Kenya/ Waziri mkuu wa Israel ziarani Misri