Harris atokea kwa mara ya kwanza kwenye kampeni/ Matumaini ya chanjo ya virusi vya corona Ujerumani yaongezeka/ Yamekuwepo madai katika nchi kadhaa ya kiafrika, kuwa fedha zinazotengwa kwa ajili ya kupambana na maambukizi ya virusi vya corona zinatumiwa vibaya na kuwanufaisha wachache, huku walengwa wakiambulia patupu> Mahojiano/ Mzozo wa gesi asilia kati ya Uturuki na Ugiriki