Vurugu zaendelea Afrika Kusini baada ya kufungwa kwa Zuma/ Wanajeshi wa chama cha ukombozi wa watu wa Tigray TPLF wamedai kuanzisha operesheni mpya ya mashambulio katika jimbo hilo lenye mgogoro/ Warioba asisitiza katiba mpya Tanzania/ Rais wa Burundi yuko mjini Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo/ Ripoti ya Marekani yazihusisha China, Ethiopia, Myanmar na ukatili