Zaidi ya watu 160,000 wamekufa kutokana na janga la virusi vya corona barani Ulaya/ Pompeo na Netanyahu wanakutana mjini Jerusalem kujadili mpango wa Israel wa kutaka kuyatwaa maeneo zaidi ya Ukingo wa Magharibi/ Congo: Rais Tshisekedi amemuondoa kwa muda mkuu wake wa shughuli za ikulu Vital Kamerhe> Mahojiano/ Taliban laonya kujibu kwa mashambulizi iwapo litalengwa