Mzozo wa Iran na Marekani wajadiliwa na Umoja wa Ulaya/ Mazungumzo ya hali ya hewa Berlin/ Hali ya kisiasa Kenya> Mahojiano/ Burundi inakumbuka mwaka 4 tangu kutokea jaribio la mapindudzi ya kijeshi yalioshindwa Mei 13, 2015/ Tanzania: Ukosefu wa usafiri kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha