Wakongomani wana matarajio mengi na serikali mpya ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo/ Somalia: Bunge lilipiga kura kumuongezea muda wa miaka miwili rais> mahojinano/ Iran yaonya hujuma zinaathiri mazungumzo ya Vienna/ Waislamu wauanza mwezi mtukufu chini ya vizuizi vya corona/ Polisi: Kifo cha Mmarekani mweusi Minneapolis, bahati mbaya