Kuonekana kwa nadra kwa Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria mbele ya hadhara kumechochea minong'ono kwamba atagombea katika awamu ya tano kwenye uchaguzi wa mwakani// Uamuzi wa Rais Mohammed Buhari wa kuwania muhula wa pili umeanzisha kinyang'anyiro cha uchaguzi wa rais nchini Nigeria.