1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.01.2022 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S13 Januari 2022

Mahakama katika mji wa magharibi mwa Ujerumani wa Koblenz, leo imemhukumu afisa wa zamani katika utawala wa Syria adhabu ya kifungo cha maisha jela baada ya kumkuta na hatia+++Jumuiya ya kujihami ya Nato na Urusi jana walikaa kwenye meza ya mazungumzo kutafuta ufumbuzi kuhusu suala la Ukraine+++Ripoti ya HRW yasema mustakabali wa madikteta wazidi kufifia.

https://p.dw.com/p/45TRI