Rais Museveni afungia Facebook nchini Uganda/ UN, Marekani zaishinikiza Uganda kuhusu haki za binadamu/ Pence haungi mkono mchakato wa kutumia ibara ya 25 ya katiba ya Marekani ili kumuondoa madarakani Rais Trump/ Italia leo inashuhudia kesi kubwa kabisa dhidi ya watu wanaoshukiwa kuwa wanachama wa kundi hatari la mafia la Ndrangheta