Marekani yaionya Iran dhidi ya kuwashambulia raia wake/ Huenda pande hasimu Libya zikatia saini makubaliano ya kusitisha mapigano/ Maoni: Merkel na Putin - Si marafiki lakini ni washirika/ Walimu watatu wauawa na wanamgambo wa al- Shabaab, Garissa, Kenya/ Makamu wa Rais nchini Kenya ameukosoa Mpango wa Maridhiano maarufu kama BBI na kusema kuwa ni uharibifu wa rasilimali za umma na wakati