1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.01.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S13 Januari 2017

Kenya-Chama tawala cha Jubilee kimezindua rasmi zoezi la kuwasajili wanachama wake kama sehemu ya matayarisho ya kujiandaa kwa uchaguzi mkuu ujao// Rais wa Tanzania John Magufuli amevionya vyombo vya habari alivyosema vinapotosha ukweli na kuleta uchochezi nchini humo// Malta, Libya- serikali ya Libya inayoungwa mkono na Umoja wa mataifa haijakubaliana na mapendekezo yaliotolewana Italia.

https://p.dw.com/p/2Vmcy