Kenya leo inaadhimisha miaka 54 tangu ilipojipatia uhuru // Marais wa Uturuki na Urusi wametoa msimamo wao unaofanana juu ya suala la Marekani kuutambua Jetrsalem kama mji mkuu wa Israel// Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu, Amnesty International, limesema nchi za Umoja wa Ulaya zimeshiriki katika unyanyasaji wa wahamiaji unaofanyika nchini Libya.