Majeshi ya Syria pamoja na washirika wake wako kwenye hatua za mwisho za kuurejesha mji wa Aleppo// Leo Kenya imeadhimisha miaka 53 tangu ilipojipatia Uhuru wake// Rais Mteule wa Marekani, Donald Trump amesema atabadili msimamo wa marekani wa kuizingatia sera ya China// Umoja wa Ulaya na Serikali ya Mali wametiliana saini makubaliano yatakayowezesha kurejeshwa nyumbani kwa wahamiaji.