Nchini Tanzania bado juhudi zinaendelea kumtafuta mfanyabiashara na bilionea mdogo zaidi barani Afrika Mohammed Dewji, aliyetekwa nyara jana alfajiri// Zaidi ya watu 30 wamekufa kufuatia maporomoko ya ardhi yalioandamana na mafuriko katika wilaya ya Bududa kwenye miteremko ya mlima Elgon Mashariki mwa Uganda.