Trump auponda uteuzi wa Kamala Harris mgombea mwenza wa Biden/ Kenya: Ruto asema hatishwi na wenye ushawishi mkubwa wa kisiasa/ New Zealand yatangaza visa vipya vya corona/ Ujumbe wa wawekezaji kutoka Ujerumani upo ziarani mjini Kinshasa, katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo/ Somalia huenda ikahalalisha ndoa za utotoni