Jeshi la Afrika Kusini llinapeleka wanajeshi katika mji Johannesburg ili kukabiliana na ghasia zilizoibuka kufuatia kifungo cha rais wa zamani, Jacob Zuma/ Je, kifungo hiki cha Jacob Zuma kinamaanisha nini kwa utawala wa kisheria nchini humo?/ Nchi za ulimwengu zatakiwa zichukue hatua kupambana na maovu ya utumwa/ Wanamgambo wa Taliban wakamata miji zaidi Afghanistan