Mzozo wa Ukraine/ Nchi zinazolizunguka Ziwa Tanganyika pamoja na Rwanda zimehitimisha kongamano la kimataifa la uwekezaji na biashara/ Uvamizi wa Urusi nchini Ukraine umechochea uhaba wa chakula ulimwenguni huku zao la mtama likipewa chepuo kama muarobaini wa tatizo hilo. Je, unaweza kusaidia kurejesha usalama wa chakula duniani?/ Kongo: Maandamano wa waalimu