Mkakati unaoitwa AREI unalenga kufikisha umeme wa nishati mbadala kwa kila mtu barani Afrika kufikia mwaka 2030//Wakristo wa madhehebu ya Kiluteri kutoka kote ulimwenguni wamekutana nchini Namibia kuadhimisha miaka 500 ya mageuzi yaliyofanywa kwa Waprotestanti.