Iran yadai kushambuliwa kimtandao na Israel/ Tanzania: Mbowe atoa wito wa kuwepo maridhiano kulirejesha taifa hilo katika kile alichokiita mkondo wa kidemokrasia. Je hilo linawezekana?/Laschet na Soeder wawania nafasi ya Merkel/ Maoni: Manifesto ya AfD ni hatari kwa Ujerumani/ Benin na Chad zafanya uchaguzi uliosusiwa na upinzani