Leo umetimia mwaka mmoja tangu kisa cha kwanza cha virusi vya corona kilipotangazwa nchini Kenya// Wakimbizi wa Syria nchini Uturuki wanasema hawathubutu kufuata ndoto zao na kurudi nyumbani wakati Rais Bashar al-Assad bado akiwa yuko madarakani// Amnesty International- Vyombo vya usalama nchini Myanmar vinatumia silaha za vitani dhidi ya waandamanaji wasiokuwa na silaha.