Kenya: Ibada ya mazishi ya aliyekuwa rais wa pili wa Kenya, Daniel arap Moi, yanaendelea katika shamba lake la Kabarak/ Erdogan atishia kuvishambulia vikosi vya Syria/Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, huduma za mahakama zimetatizika kufuatia mgomo wa majaji ulioanza Jumatatu kote nchini humo wanaoitaka serikali iwaongezee mshahara/ Sanders atangaza ushindi New Hampshire; Biden aanguka ten