Leo hii mwili wa aliyekuwa Rais wa pili wa Kenya Daniel Toroitich Arap Moi utazikwa nyumbani kwake Kabarak/ Utawala wa Rais Trump unapanga kuharakisha kesi za watu wanaotaka hifadhi nchini Marekani/ Umoja wa mataifa umesema utafanya majaribio ya kutumia ndege zisio na rubani katika kuwapulizia dawa nzige wa jangwani ambao wamevamia mataifa ya Afrika mashariki na kuharibu mimea