Hali nchini Syria/ Leo ni siku ya kimataifa ya kupambana na matumizi ya watoto jeshini/ Kwa mara ya kwanza chini Tanzania leo hii waatuhumiwa watatu wa mauaji ya kiholela ya watoto huko mkoani Njombe wafikishwa mahakamani kukiwa na ulinzi mkali wa polisi/ Viongozi wa serikali mjini Butembo na Beni walaumu raia kuwa chanzo chakudumu kwa homa ya ebola