Tanzania: Zoezi la kuaga miili ya waandishi wa habari waliopoteza maisha katika ajali/ Shambulio la Al-Shabaab laua watu kadhaa Mogadishu/ Ujerumani: Maambukizi ya virusi vya corona yafikia viwango vya juu/ Johnson ameomba radhi kukiuka masharti ya kuzuia kusambaa virusi vya corona. Aidha, ametupilia mbali mito ya upinzani ya kutaka akjiuzulu/ 1,700 wakamatwa Khazakhstan, serikali mpya yaapishwa