Fredrik Willem de Klerk, rais wa mwisho mweupe wa Afrika Kusini amefariki dunia leo akiwa na umri wa miaka 85+++Mkuu wa majeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Gen.Celestin Mbala Munsense anafanya ziara ya kikazi nchini Rwanda+++Pakistan imekuwa mwenyeji wa mazungumzo maalum na wajumbe kutoka Marekani, Urusi na China kujadili juu ya kadhia ya Afghanistan.