Tanzania: Madai kutoka kwa baadhi ya wanasiasa kwamba hawako salama kufuatia vitisho wanavyovipata dhidi ya usalama wao kutoka kwa vyombo vya usalama> Mahojiano/ Viongozi wa Muungano wa Makanisa nchini Kenya wameelezea wasiwasi kuhusu jinsi mchakato Maridhiano ya BBI unavyoharakishwa/ Burundi yapiga mnada mali ya wapinzani/ Wabunge wa upinzani wajiuzulu Hong Kong