Leo ndio siku ambayo Tume ya Uchaguzi Zanzibar imeruhusu kuanza kwa kampeni za urais, wajumbe wa baraza la wawakilishi pamoja na madiwani// Wabunge waliostaafu nchini Kenya wamepata pigo baada ya Rais Uhuru Kenyatta kukataa kuidhinisha mswada wa kuwalipa pensheni ya dola elfu moja// Viongozi wa EuroMed7 wako tayari kuunga mkono vikwazo vya EU dhidi ya Uturuki.