Angela Merkel: Harakati za kukabili mabadaialiko ya tabia nchi zitakuwa za gharama kubwa / Maiti ya Mugabe yawasili Harare/ Uganda: Museveni ametamka hadharani kuwa anauwa nae auwawe, kauli ambayo imezusha tafsiri nyingi ndani na nje ya Uganda> Mahojiano/ Chama cha wanasheria nchini Kenya kimesisitiza kuwa zoezi la kuwaondoa wavamizi wa msitu wa Mau linapaswa kuangaliwa kwa makini