TCRA: Hatujazuia vituo vya nje kurusha matangazo Tanzania/ Idadi kubwa ya wagombea wa nafasi ya urais wanaendelea kujitokeza. Mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF Profesa Ibrahim Lipumba naye leo amejitosa kwenye kinyang’anyiro hicho/ Poland imependekeza upatanishi baina ya rais wa Belarus na upinzani/ China inajaribu kuigeuza Taiwan kuwa 'Hong Kong'