1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.06.2021 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S11 Juni 2021

Marekani na Ulaya zinataka kuufufua ushirika wao wa Bahari ya Atlantiki na kuonesha msimamo wa wazi dhidi ya Urusi+++Kiasi watu 350,000 katika jimbo lenye mgogoro la Tigray nchini Ethiopia wanaishi katika hali ya mazingira ya njaa+++Kiongozi wa kundi la kigaidi la Boko Haram nchini Nigeria, Abubakar Shekau, anasemekana kuwa amejiuwa mwenyewe akiwa kwenye mapigano.

https://p.dw.com/p/3ukA3