Wanajeshi kadhaa wanashikiliwa rumande kufuatia kuuwawa kwa watu katika maandamano ya amani mjini Khartoum wiki iliyopita// Watu wapatao 95 waliuawa katika mashambulizi mabaya usiku wa kuamkia jana katika kijiji cha Dogon nchini Mali// DR Congo- Wanachama cha Lamuka chake Moise Katumbi wameeleza hasira yao baada ya kiongozi huyo kukataliwa ndege yake isituwe kwenye uwanja wa kimataifa wa Goma.