Waasi wa Houthi nchini Yemen wakubali kuyaondoa majeshi yake kutoka bandari tatu muhimu za nchi hiyo // Wawakilishi wa Marekani na China wamekamilisha mazungumzo yao bila kutoa maelezo // Na Nchi 70 zaitaka Korea Kaskazini kuachana na mipango yake ya silaha za nyuklia na makombora ya masafa marefu