Nchini China huenda mamilioni ya watu wakapoteza ajira zao kutokana na mripuko wa virusi vya corona/ Je, Ujerumani na umoja wa Ulaya zimejiandaa kupokea wimbi jipya la wakimbizi?/ Mataifa ya Afrika ya Mashariki, bado yanaendelea kupambana ili kuzuia makundi mapya ya nzige wanaovamia na kuharibu mazao