Rais Kenyatta wa Kenya leo anawaongoza raia wa taifa hilo kutoa heshima za mwisho kwa rais wa pili wa taifa hilo Daniel Arap Moi/ Kongo: Waasi wa ADF wameingia kwenye mkoa wa Ituri na kuanza kufanya mauaji. Hali hiyo imesababisha wakaazi kukimbilia mji wa Beni/ Wito wa kukabiliana na nzige watolewa na UN/ WHO kukutana kukijadili kirusi cha Corona