Rais wa Msumbiji ziarani nchini Tanzania/ Uganda: Mtandao wa Facebook umefafanua kwa nini umezifungia kurasa za mitandao ya kijamii za wafuasi kadhaa wa chama tawala NRM/ Kenya: Jaji Mkuu David Maraga kuastaafu rasmi/ Tanzania: Kikao kati ya wamiliki wa vyombo vya habari, watoa huduma ya ving'amuzi pamoja na wizara ya habari utamaduni/ Kura ya kumuondoa uongozini Trump kufanyika Jumatano