Raila Odinga atangaza nia ya kuwnia urais katika uchaguzi ujao Kenya+++Samia Suluhu na Uhuru Kenyatta wamesisitiza haja ya nchi zao kuendelea kuondoa vikwazo vinavyodumaza mahusiano mema+++Leo ni siku ya kuadhimisha azimio la Umoja wa Mataifa juu ya haki za binadamu+++Mahakama moja ya rufaa nchini Uingereza leo imefungua milango ya kurejeshwa nchini Marekani kwa Julian Assange.