1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

10.12.2021 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S10 Desemba 2021

Azma ya Kiongozi wa Chama cha ODM nchini Kenya Raila Odinga ya kuwa rais wa tano katika taifa hilo lenye uchumi mkubwa Afrika ya Mashariki+++Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz yuko nchini Ufaransa kwa ziara rasmi ya kwanza kuifanya nje ya nchi tangu alipoteuliwa kuwa kansela wa taifa hilo+++Biden atoa tahadhari kuhusu demokrasia ya ulimwengu.

https://p.dw.com/p/445P0