Rais wa Ghana ameshinda muhula wa pili madarakani, kulingana na matokeo rasmi yaliyotolewa na tume ya taifa ya uchaguzi. Lakini chama kikuu cha upinzani kimesema kitakata rufaa kupinga matokeo hayo/ Kauli mbiu inaangazia vipi kusimama tena na kupiga hatua zaidi kutetea haki za binadamu hata baada ya janga la COVID-19/ Mustakabali wa mazungumzo ya Brexit kujulikana Jumapili