UN: Hali ya Ethiopia inahitaji uangalizi wa dharura// Ulimwengu leo unaadhimisha Siku ya Haki za Binadamu// Mashirika ya Human Rights Watch na Amnesty International yamezihimiza serikali kutozuia kibali cha muda cha kukiuka sheria zinazolinda haki miliki kuhakikisha chanjo dhidi ya COVID-19 inawafikia wanaohitaji kote duniani.