Rais Barack Obama anajiaandaa kumpokea rais mteule wa Marekani Donald Trump katika ikulu ya White House// Zaidi ya nusu ya Wajerumani wanamtaka Kansela Angela Merkel kugombea tena muhula wa nne// Bunge la Tanzania limeazimia serikali ya nchi hiyo isisaini mkataba wa ushirikiano wa kiuchumi kati ya nchi za Afrika Mashariki na Umoja wa Ulaya ujulikanao kama EPA.