Tanzania: Vyombo vya habari vilivyojiunga na mashirika ya utangazaji ya kimataifa bila ya kuwa na kibali maalum vimefanya makosa na kutakiwa kuacha kurusha matangazo hayo mara moja hadi pale vitakapoomba kibali na kupata ruhusa kutoka TCRA/ Odinga: Muungano wa NASA umesambaratika/ Ulimwengu waichangia Lebanon zaidi ya Euro milioni 250/ Mmiliki wa vyombo va habari Hong Kong atiwa nguvuni